0 Comment
Naibu Waziri wa Fedha ,Hamad Hassan Chande akizungumza na waumini na wadau wengine walioalikwa kushiriki hafla ya iftar iliyoandaliwa na Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM). Mwandishi Wetu, Morogoro NAIBU Waziri wa Fedha ,Hamad Hassan Chande amesema Serikali ya Awamu ya Sita imeifungua nchi kidiplomasia ya kimataifa ambapo kwa sasa kuna maombi yapatayo 15 kutoka mataifa... Read More