0 Comment
Na Mwandishi Maalum Moja ya matukio makubwa nchini wakati jua linazama Jumatano wiki hii ilikuwa ni futari ya kukata na shoka iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya watoto waishio katika mazingira magumu pamoja na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika kuendeleza jadi yake ya kutoa misaada ya kijamii, Benki... Read More