0 Comment
Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma Kisare Makori,akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania(CWT)Wilaya kabla ya kufungua mkutano Mkuu wa mwaka wa Chama hicho uliofanyika katika Ukumbi wa St Kilian Mbinga Mjini. Baadhi ya Walimu wa shule za Msingi na Sekondari Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma,wakiimba wimbo maalum wa mshikamo wakati... Read More