0 Comment
Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdullah amevitaka vyombo vya usalama nchini kuwa mstari wa mbele katika kupambana na matumizi na uimgizwaji wa dawa za kulevya nchini. Mhe. Abdullah ameyasema hayo Mkoani Morogoro wakati akizindua mashindano ya Michezo ya Majeshi nchini yaliyoratibiwa na Baraza la Michezo ya Majeshi... Read More