0 Comment
Miaka kama miwili iliyopita, mtoto wa jirani yangu alipotea katika mazingira ya kutatanisha akiwa anacheza na wenzake karibu na eneo la nyumbani, mzazi wake alipita kila nyumba kumuulizia lakini hakuweza kumpata. Tulimsaidia kumtafuta hadi vijiji vya jirani lakini hatukuweza kufanikwa kumpata, tuliamuaa kuripoti kisa hicho kituo cha Polisi ambao nao walitueleza kuwa wataanza uchunguzi siku... Read More