0 Comment
TASAC YAPONGEZWA NA KAMATI YA KUDUMU YA BARAZA LA WAWAKILISHI MAWASILIANO, ARDHI NA NISHATI ZANZIBAR
KAMATI ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi, Mawasiliano, Ardhi na Nishati Zanzibar, imelipongeza Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) kwa utendaji kazi madhubuti katika usimamizi wa bandari na bandari kavu hapa nchini pamoja na usimamizi wa sheria na kanuni za usalama, ulinzi na utunzaji mazingira wa usafiri majini. Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Mwenyekiti... Read More