0 Comment
Na Prisca Libaga Kilimanjaro Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini kwa kushirikiana na Sekretariati ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kaskazini tarehe 11.02.2025 imeendelea kutoa elimu kinga kwa wanafunzi juu ya madhara ya tatizo la dawa za kulevya wilayani Same mkoani Kilimanjaro. Aidha, Mamlaka ilimtembelea Mkuu... Read More