Mamlaka ya Dawa na Chakula Zanzibar ZFDA imefanikiwa kukamata mabegi manne yenye Dawa za Matumizi ya Binadamu ambazo zinadaiwa kua sio salama kwa matumizi ya Binadamu dawa ambazo zimeingia kupitia uwanja wa ndege wa Abeid Amaan karume Airport (AAKIA) siku ya Jana Kaimu Mkurugenzi wa ZFDA amesema dawa hizo zimeingia kupitia ndege ya Ethiopia Airline... Read More
Watu kadhaa wanaohofiwa kufariki Dunia na wengine kujeruhiwa kwenye ajali iliyotokea katika Kijiji cha Mtego wa Simba kata ya Mikese Barabara ya Morogoro _Dar es salam Ajali hiyo ambayo imetokea usiku wa kuamkia Septemba 7 mwaka huu ambayo imehusisha magari matatu basi la abiria ,gari dogo na gari dogo la mziigo ambalo limebeba vinaywaji aina... Read More