0 Comment
Meneja Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Temeke Mhandisi Ezekiel Mashola akizungumza jambo katika hafla fupi ya Uzinduzi ya Wiki ya Huduma kwa Mteja iliyofanyika leo Oktoba 7, 2024 katika Ofisi za Mkoa huo zilizopo Kurasini jijini Dar es Salaam. Afisa Habari Uhusiano na Huduma kwa Wateja TANESCO Mkoa wa Temeke Lucia Renatus akizungumza... Read More