0 Comment
Mkuu wa mkoa wa Katavi Bi. Mwanamvua Mrindoko akipokea Mwenge wa uhuru kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Rukwa ………………. Mbio za mwenge wa Uhuru Kitaifa zimeanza mkoani Katavi ambapo zitakimbia umbali wa kilometa 910.5 na kutembelea jumla ya miradi 43 yenye thamani ya shilingi bilioni 11.8. Mbio hizo zimepokelewa kutoka mkoani Rukwa na kuanza... Read More