0 Comment
NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Suleiman Serera, ameeleza kuwa, Serikali inaitaji kuona Ushirika wa kisasa ambao unafuata mifumo ya kidigiti na kuzingatia taratibu na miongozo ya uendeshaji Ili kuwainua Wakulima. Ameeleza kuwa, kukiwa na Ushirika wa kisasa wakulima watapata huduma kwa haraka mahala walipo ikiwa ni pamoja... Read More