0 Comment
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya (WaPili kushoto) akitoa maelekezo kwa Mhandisi Mshauri kutoka Wakala wa Barabara (TANROADS) Kitengo cha TECU, Simon Makala (WaNne kulia) alipokagua ujenzi wa barabara ya Ruangwa – Nanganga (Km 53.2) kwa kiwango cha lami na daraja la Lukuledi lenye urefu wa mita 60 Septemba 14, 2024 mkoani Lindi. Mhandisi... Read More