0 Comment
Mmisionari wa Kimarekani ametekwa nyara katika mji mkuu wa Niger, Niamey, kwa mujibu wa vyanzo vya usalama na vyombo vya habari vya ndani. Watu watatu wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Toyota Corolla walimchukua mwanaume huyo usiku wa kuamkia Jumatano, na inasadikiwa walimtoa nje ya jiji. Hakuna kundi lolote lililodai kuhusika, lakini mamlaka za... Read More










