0 Comment
Na, Ruth Kyelula, Manyara RS Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe.Queen Sendiga, amezindua uchimbaji wa visima virefu 40 vya umwagiliaji, katika vijiji 40 vya Wilaya tano za mkoa, kwa lengo la kufikia malengo ya agenda 10/30 na visima hivyo vitaenda kuwanufaisha wananchi Zaidi ya 650 kwa awamu ya kwanza na kuongeza usalama wa chakula na... Read More











