0 Comment
Urusi imesisitiza tena dhamira yake ya kuimarisha uhusiano wa kisayansi, utafiti na elimu na Tanzania katika sekta za mazingira na teknolojia, huku ujumbe wa wajumbe kumi kutoka Urusi ukiwa nchini kama sehemu ya Msafara wa Kisayansi na Kielimu wa Urusi na Tanzania. Akizungumza mapema hive Leo, Machi 10, 2025 katika Kituo cha Utamaduni cha Urusi... Read More