0 Comment
Na Mwandishi Wetu. KATIKA jitihada za kuongeza uhifadhi wa mazingira katika wilaya za Chemba na Kondoa mkoani Dodoma, shirika lisilo la kiserikali (NGO) la limetoa msaada wa mizinga ya kisasa ya nyuki 70 yenye thamani ya Shilingi milioni saba kwa wafugaji wa nyuki. Msaada huu si tu utaongeza uzalishaji wa asali katika vijiji viwili vya... Read More