0 Comment
Mshindi wa Mashindano ya @missuniversetanzania mwaka 2025 mwanadada @naisae.yona, amekabidhiwa rasmi gari jipya aina ya Hyundai kutoka kwa @hyundai_tanzania lenye thamani ya shilingi milioni 49. Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika leo Oktoba 22, 2025 ambapo @naisae.yona ametajwa kuwa si mrembo tu, bali ni kielelezo cha kizazi kipya cha wanawake wa Kitanzania wenye nidhamu, maono, ujasiri... Read More











