0 Comment
Ubunifu unachukua nafasi ya kipekee mwezi Mei wakati Tanzania ikijiandaa kwa ajili ya Wiki ya Ubunifu Tanzania maarufu kama ‘Innovation Week Tanzania’ (IWTz) kwa mwaka 2025, jukwaa shirikishi linaloangazia kuleta suluhisho kwa maendeleo endelevu. Tukio hili litafanyika kuanzia tarehe 12 hadi 16 Mei 2025 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), likiratibiwa... Read More