0 Comment
MKUU wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala, amesema kuwa endapo wananchi wataelewa umuhimu kulipa kodi na athari za biashara za magendo nchi itakuwa salama. Hayo ameyasema hivi karibuni wakati wa ziara ya Maofisa wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) , idara ya forodha. DC. Mwangwala amesema kuwa amewapa baraka maofisa hao kwenda kuwapa elimu wananchi.... Read More