0 Comment
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza rasmi vikwazo vipya dhidi ya baadhi ya makampuni makubwa ya mafuta kutoka Urusi, hatua inayolenga kuongeza shinikizo kwa serikali ya Rais Vladimir Putin kufuatia kuendelea kwa mvutano wa kisiasa. Vikwazo hivyo vinahusisha kufungia mali za makampuni kadhaa na kuzuia biashara ya mafuta kati ya Urusi na washirika wake wa... Read More










