0 Comment
NA BELINDA JOSEPH, RUVUMA Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoani Ruvuma limeendelea na ziara yake ya kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutunza miundombinu ya umeme, Ziara hiyo imekita kambi eneo la Mitendewawa, kata ya Mshangano, ambapo wananchi wamejifunza hatua mbalimbali za kuhakikisha wanapata na kutumia umeme kwa usahihi. Afisa Uhusiano na huduma kwa... Read More