0 Comment
Na Mwandishi Wetu. Benki ya NMB imetunukiwa tuzo tano muhimu kutoka Wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) katika Maadhimisho ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi kwa mwaka 2025, hatua inayodhihirisha juhudi za benki hiyo katika kuhakikisha mazingira salama na yenye afya kwa wafanyakazi wake. Katika hafla hiyo iliyofanyika mkoani... Read More