0 Comment
Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Ubia Safari Inayojishughulisha na kulaza magari makubwa ya mizigo imesema kuwa umeamua kuja na njia ya kuondoa changamoto foleni kati ya jiji la Dar es Salaam kwa kuweka maeneo mbalimbali ya kulaza magari magari makubwa. Hayo ameyasema Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Victor kulaza Kabegu amesema kuwa Kampuni hiyo imekuja kutatua tatizo... Read More










