0 Comment
Katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani mwaka 2025, Shirika lisilo la Kiserikali Agenda for Environment and Responsible Development limeitaka jamii kuongeza juhudi za kupunguza matumizi ya Plastiki nchini. Akizungumza leo Juni 4, 2025 katika hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani, Katibu Mtendaji wa AGENDA Bi. Dorah Swai, amesema kuwa jamii ina wajibu... Read More