0 Comment
Na Seif Mangwangi, Arusha Mkuu wa Wilaya ya Arusha Joseph Mkude amewataka madereva wote wanaoendelea kupiga kelele za vilipuzi maarufu kama ‘trampa’ kupitia pikipiki na magari kuacha mara moja kwa kuwa zimekuwa zikileta usumbufu kwa wagonjwa. Amesema sheria kali inaendelea kutungwa na ambaye atakutwa akiendesha trumper atapigwa faini isiyopungua shilingi milioni moja au kifungo kwa... Read More











