0 Comment
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Fatma Hamad Rajab amewata vijana nchini kuwa wazalendo, wenye maadili mazuri na kujituma ili kuchochea maendeleo ya Taifa. Aidha, amesema vijana ni nguzo muhimu katika ukuaji wa maendeleo ya Taifa, hivyo amewahimiza kuendelea kudumisha Amani, Mshikamano na kuwa na umoja. Katibu Mkuu Fatma Hamad... Read More