0 Comment
Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. John Rwegasha ameteuliwa kushika wadhifa wa Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Tiba, Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) yenye makao makuu yake nchini Addis Ababa, Ethiopia ambapo anatarajiwa kuanza kazi Februari, 2025. Akiagana na Menejimenti ya MNH mwishoni mwa wiki hii, Dkt. Rwegasha... Read More