Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana, Januari 11 2025 ameshiriki katika Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Ludewa ambapo katika baraza hilo amechangia fedha kiasi cha shilingi mililioni 6 kwaajili ya kuwezesha shughuli mbalimbali za UWT Ludewa ikiwemo ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa UWT Ludewa.

01/12/2025
0 Comment
16 Views
WAZIRI DKT. CHANA ACHANGIA MILIONI 6 KUWEZESHA SHUGHULI ZA UWT LUDEWA
by 4dmin
Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana, Januari 11 2025 ameshiriki katika Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Ludewa ambapo katika baraza hilo amechangia fedha kiasi cha shilingi mililioni 6 kwaajili ya kuwezesha shughuli mbalimbali za UWT Ludewa ikiwemo ujenzi wa... Read More