Nilikuwa mwanamke mwenye furaha, nikiamini ndoa yangu ilikuwa thabiti. Mume wangu, Joseph, alionekana kuwa mwaminifu na mwenye mapenzi ya dhati…….. SOMA ZAIDI
Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mbogwe, Pius Lukaga, amewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya rushwa wakati wa kuelekea kwenye uchaguzi. Read More
Team March wakimkabidhi Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga, Dkt. John Luzila vifaa mbalimbali kwa ajili ya watoto wanaozaliwa kabla ya muda (‘pre-mature’) pamoja na vifaa vya mradi wa ushonaji kofia, masweta, na soksi kwa akina mama waliojifungua watoto njiti katika Hospitali hiyo Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Kikundi cha watu... Read More
Kampuni Tanzu ya TANESCO inayojishughulisha na Ujenzi pamoja na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji Umeme (ETDCO) imetoa msaada wa vitu mbalimbali katika Kituo cha Kulea Watoto Igamilo kilichopo Mkoani Tabora ikiwa ni sehemu ya kuonesha mshikamano katika jamii pamoja kuwatakia kheri ya Sikukuu ya Eid el Fitri. Msaada huo uliotolewa na ETDCO ni... Read More
Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila amesema serikali inavuta mitaji kutoka sekta binafsi kwasababu kodi na mikopo hayatoshi kufikia matarajio ya wananchi. Katika mazungumzo maalum na The Chanzo Machi 29,2025, Kafulila amesema deni la Tanzania ambalo ni Sh. trilioni 97 ni himilivu kwa uchumi wa... Read More
Masatu Wanjara (kushoto) na mkewe, Sherida Musibha, kulia muda mfupi baada ya kupokea msaada wa vifaa saidizi kutoka The Desk &Chair Foundation, ili kuwawezesha kutembewa.Picha na Baltazar Mashaka. …………… NA BALTAZAR MASHAKA, BUNDA Wakazi wa Kijiji cha Guta, wilayani Bunda, Masatu Wanjara na mkewe, Sherida Musibha, wamepokea vifaa saidizi vya kuwasaidia kutembea, baada ya kukumbwa... Read More
Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma(Mbifacu)Micheal Kanduyu kulia na Kaimu Meneja wa Chama hicho Faraja Komba wakiangalia uzalishaji wa zao la kahawa katika kijiji cha Malindindo Wilayani humo. Miongoni mwa mashamba bora ya kahawa katika Mkoa wa Ruvuma. Shamba la Kahawa katika kijiji cha Malindindo Halmashauri ya Wilaya Mbinga Mkoani... Read More
Na Prisca Libaga, Arumeru Mkuu wa wilaya ya Arumeru Amir Mkalipa amewataka wananchi wa wilaya hiyo kutumia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia katatua migogoro na malalamiko yao yanayosababishwa na kukosekana elimu ya msaada wa kisheria ili haki iweze kupatikana. Mkalipa ameyasema hayo leo tarehe 31 Machi, 2025 wakati alipokuwa akizungumza kwa niaba... Read More
Mama huyo anasema alifanya kazi ya kusambaza chakula kwa mafundi waliokuwa wakijenga zahanati ya kijiji lakini hajalipwa malipo yake hadi sasa. Read More