BILBAO: HATIMAYE klabu ya Athletic Bilbao ya LaLiga imefanikiwa kumsajili tena beki wa kati mzaliwa wa Ufaransa Aymeric Laporte kutoka klabu ya Al-Nassr ya Saudi Arabia baada ya FIFA kuidhinisha uhamisho wake. Bilbao waliamua kumrejesha Laporte San Mames mapema mwezi Septemba lakini uhamisho huo haukukamilika kabla ya tarehe ya mwisho ya dirisha la usajili, huku... Read More
Na: Calvin Gwabara – Dodoma. Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria (OCPD) imekabidhi Juzuu za toleo la Urekebu wa Sheria la mwaka 2023 kwa Ofisi ya Taifa ya Mashitaka na kupongeza mchango mkubwa uliotolewa na Ofisi hiyo kupitia watumishi wake kwenye utekelezaji wa zoezi la Urekebu. Mkurugenzi wa Mashitaka Bw. Sylvester Mwakitalu... Read More
Meza kuu wakati wa semina ya utoaji elimu ya sheria ya bima kwa mahakimu wakazi wa Mahakama za Hakimu Mkazi na Wilaya wa Mkoa wa Dar es Salaam. Semina hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo Septemba 12, 2025. Kaimu Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Awamu Mbagwa akizungumza wakati wa... Read More
Morogoro – Watumishi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) wamekutana kwa siku mbili mkoani Morogoro katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili utekelezaji wa shughuli za Mamlaka kwa mwaka wa fedha 2024/2025 pamoja na kuwasilisha na kuchambua mpango kazi wa mwaka 2025/2026. Kikao hicho cha siku mbili kilichoanza Septemba 11 hadi 12, 2025 kimeongozwa na... Read More
Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi akisalimia wananchi wa Jimbo la Arumeru Magharibi alipokuwa akiendelea na mikutano yake ya kampeni kwa ajili ya kunadi Ilani ya chama hicho pamoja na kuomba kura kwa wagombea Urais, Ubunge na Udiwani wa CCM mkoani Arusha leo Septemba... Read More
DAR ES SALAAM: STAA wa muziki na filamu nchini Tanzania, Lulu Abas maarufu kama Lulu Diva, ameweka wazi kuhusu sakata la kutoka kimapenzi na aliyekuwa mpenzi wa mwanamitindo Hamisa Mobetto, raia wa Nigeria Kelvin Sowax. Akizungumza na Spoti leo, Lulu amethibitisha kuwa alikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na Kelvin, lakini akasisitiza kuwa walianza mahusiano yao... Read More
MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amewahutubia Wananchi wa Longido kwenye mkutano mdogo wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Polisi, leo Ijumaa Septemba 12,2025. Mara baada ya kuwasili eneo la Mkutano,Balozi Nchimbi alikaribishwa kwa kuvalishwa vazi la heshima la... Read More
MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amewasili mkoani Arusha leo Ijumaa Septemba 12,2025 na kuendelea na mikutano yake ya kampeni akitokea Mkoa wa Katavi. Mara baada ya kuwasili jijini humo,Balozi Dkt.Nchimbi ataelekea Wilayani Longido,Jimbo la Longido ambako atawahutubia Wananchi... Read More
ARUSHA – Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeiwezesha kampuni ya maziwa Galaxy Food and Beverages Ltd kuondoa vikwazo vya uzalishaji na kupanua masoko ya bidhaa zake za Kilimanjaro Fresh, hatua inayoongeza ajira na kuimarisha mnyororo wa thamani wa maziwa nchini. Meneja wa uzalishaji wa Galaxy, Augustine Lyana, alisema kuwa kabla ya ushirikiano na... Read More