DAR ES SALAAM: BONDIA Ramadhan Mkwakwate maarufu kama Sungu Mtata anatarajiwa kupanda ulingoni kuvaana na mpiganaji mwenye nguvu kutoka DR Congo, Regan Pacho, katika pambano la kimataifa litakalopigwa Desemba 26, 2025 Dar es Salaam. Akizungumza wakati wa maandalizi yake Chamanzi, Mkwakwate alisema amejiandaa kikamilifu kuhakikisha ushindi unabaki nyumbani. “Maandalizi ni asilimia mia. Mashabiki waje kuona... Read More








