NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Mbunge mteule wa Jimbo la Kibaha mjini kupitia tiketi ya Chama cha mapinduzi (CCM) Silvestry Koka ameahidi kuboresha sekta ya afya,elimu na maji pindi atakapopewa ridhaa ya kuwaongoza wananchi. Koka ameyasema hayo wakati wa ufunguzi rasmi wa kampeni za CCM kata ya Kibaha na kusema kuwa lengo lake kubwa ni kuendelea kushirikiana... Read More