Katikati ni mkuu wa mkoa wa Rukwa Charles Makongoro Nyerere wakati akizungumza na baadhi ya viongozi alioambatana nao kwenye ukaguzi wa miradi ya maendeleo ………………….. Na Neema Mtuka Sumbawanga, Rukwa: Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere, ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Manispaa ya Sumbawanga na kusisitiza umuhimu wa... Read More