Meridianbet imeendelea kuonyesha dhamira yake ya kusaidia jamii kwa kuendesha zoezi la ugawaji wa vyakula kwa kaya zenye uhitaji wilayani Kinondoni, Dar es Salaam. Hatua hii ni mfano wa jinsi kampuni inavyounganisha nguvu zake na changamoto za wananchi, na kuleta suluhisho la haraka linalogusa maisha yao moja kwa moja. Mradi huu wa kijamii umelenga kutoa... Read More









