0 Comment
KAMPUNI ya Kubashiri ya Kingbet imezindua rasmi kampeni yake ya CHA KUKALIA ambayo inalenga kuwasaidia wateja wanaocheza mchezo maarufu wa Aviator kujichotea Mkwanja wa maana kila usiku. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 5, 2025 jijini Dar es Salaam amesema kampeni hiyo imeanza leo na itafika tamati Desemba mwaka 2025 ambapo itachukua miezi sita.... Read More