0 Comment
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV HALI ya upatikanaji wa maji katika Jiji la Dar es Salaam imeimarika kufuatia kukamilika kwa marekebisho ya mtambo mmoja katika mitambo ya kuzalisha maji katika eneo la Ruvu Juu huku kiwango cha maji katika mto Ruvu kikiongezeka. Akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 7, 2025 Jijini Dar es Salaam,... Read More