0 Comment
MKURUGENZI wa Shirika lisilo la kiserikali la Foundation for Disability Hope FDH Maiko Salali, ameingia rasmi kwenye kinyang’anyiro cha kugombea Ubunge kwa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Jimbo la Mpwapwa katika uchaguzi ujao. Salali alichukua fomu hiyo leo katika ofisi ya CCM Wilaya ya Mpwapwa, mkoani Dodoma, mbele ya... Read More