0 Comment
Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma Peres Magiri,akizungumza na baadhi ya Wajasiriamali wadogo kutoka kata mbalimbali Wilayani humo ambao wamekidhi vigezo vya kupata mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri ya Wilaya Nyasa,kulia Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Khalid Khalif. Baadhi ya Wajasiriamali wadogo kutoka Kata mbalimbali za Wilaya ya Nyasa wakimsikiliza Mkuu wa... Read More