0 Comment
*Awataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kwenda kupiga kura kuiheshimisha nchi *Asema mengine wamuachie yeye,matusi dhidi yake hayamuumizi ,anawatumikia wananchi Na Said Mwishehe,Michuzi TV. AMIRI Jeshi Mkuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama ,Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia Watanzania siku ya Oktoba 29 mwaka huu hakutakuwa na maandamano ya vurugu,hivyo wajitokeze kwa wingi kupiga kura kuchagua... Read More










