0 Comment
Na. OWM-KVAU Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Zuhura Yunus amewataka wakulima Wadogo na wasindikaji wa zao la Zabibu kuwa mabalozi wa mabadiliko chanya ili kukuza ujuzi wa kuongeza thamani ya mazao kwenye mnyororo wa mazao ya kilimo. Zuhura Yunus ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya kuongeza... Read More
                                










