0 Comment
Na Mwandishi Wetu ,Dodoma TAASISI ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) imetoa wito kwa wadau wa Kilimo kufanya shughuli za kilimo chenye tija ambacho kinazingatia uhifadhi wa Mazingira. Wito huo umetolewa na Mtafiti Daines Sanga kutoka Kituo cha TARI Makutupora katika Maonesho ya wiki ya Mazingira yanayoendelea viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini... Read More