0 Comment
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari amewakumbusha Mawakili wa Serikali juu ya wajibu wao na masuala muhimu yanayohusu majadiliano ya mikataba mbalimbali ambayo Serikali au Taasisi inakusudia kuingia au ina maslahi nayo. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyasema hayo tarehe 4 Juni, 2025 wakati akiwasilisha mada kuhusu mbinu za kufanya Majadiliano ya Mikataba na... Read More