0 Comment
Na: Humphrey Shao, Michuzi Tv Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru ndugu Ismail Ussi Leo tarehe 3 June 2025, amezindua mradi wa Nishati Safi katika Soko la Samaki Ferry Akizungumza na wananchi na wafanyabiashara wa soko la samaki Feri ndugu Ismail Ussi amesisitiza umuhimu wa kuachana na matumizi ya nishati chafu kama mkaa na... Read More