0 Comment
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe George Simbachawene amesema kuwa pamoja na jitihada zinazofanywa na Serikali lakini bado kuna changamoto ya ukiukwaji wa maadili katika sekta mbalimbali. Ambapo amesema changamoto hizo ni pamoja na matumizi mabaya ya madaraka, mgongano wa maslahi na ufujaji wa rasilimali za... Read More