0 Comment
Wilaya ya Ubungo inatarajia kupokea Mwenge wa Uhuru Alhamisi, tarehe 5 Juni 2025, ukitokea Wilaya ya Kinondoni, ambapo mapokezi yatafanyika katika stendi ya Kibamba kuanzia saa 12:00 asubuhi. Mwenge huo utakimbizwa umbali wa takribani kilomita 72 ukitembelea miradi saba ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 8.2. Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo,... Read More