0 Comment
Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv MAHAKAMA Kuu Masijla Ndogo Dar es Salaam Oktoba 22,2025 inatarajiwa kutoa uamuzi wa pingamizi la juu ya kupokelewa au kutokupolelewa kwa vielelezo vya shahidi wa tatu wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu. Hatua hiyo imefikiwa leo Oktoba 20,2025 na... Read More











