0 Comment
HANDENI TC Halmashauri ya Mji wa Handeni imefanya bonanza kubwa la michezo lililolenga kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu. Bonanza hilo limefanyika leo katika Uwanja wa Kigoda, Handeni, na limehusisha wananchi, watumishi wa umma, viongozi wa dini, viongozi wa kisiasa na taasisi binafsi. Akizungumza katika bonanza... Read More









