0 Comment
NA DENIS MLOWE, IRINGA MGOMBEA Ubunge Jimbo la Iringa Mjini, Fadhil Ngajilo anayewakilisha chama cha Mapinduzi amesema endapo atachaguliwa kuwa Mbunge atahakikisha kuwa Wagonjwa wa moyo na saratani kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wanapata huduma za kibingwa mkoani hapa. Ngajilo aliyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la Mlandege, ambapo pia alizungumzia... Read More








