0 Comment
NA DENIS MLOWE, IRINGA TIMU. ya Kusifu na Kuabudu ya The Light ya mkoani Iringa imeandaa tamasha kubwa la kusifu na kuabudu kwa njia ya muziki linalotarajiwa kufanyika Disemba 19 mwaka huu katika ukumbi wa Sambala. Mwimbaji na Mtumishi wa Mungu Ombeni Stony ambaye ni kiongozi mkuu wa The Light amesema hayo wakati wa mkutano... Read More











