0 Comment
NA. MWANDISHI WETU – GENEVA USWISI TANZANIA imeshiriki Jukwaa la Nane la Dunia la Kupunguza Madhara ya Maafa lenye jukumu muhimu katika kuhamasisha na kukuza ushirikiano kati ya Serikali, Wadau na Mfumo wa Umoja wa Mataifa ili kuharakisha utekelezaji wa hatua za kupunguza madhara ya maafa. Akizungumza wakati wa Mkutano huyo unaoendelea Mjini Geneva Uswisi... Read More