0 Comment
Mwenye nyumba kaskazini mwa Ufaransa amewaacha wanamitandao kwenye mshangao baada ya kujaribu kuwalazimisha wapangaji wake kuondoka katikati ya msimu wa baridi kwa kuondoa milango na madirisha kwenye nyumba yake aliowapangishia Nchini Ufaransa, kama ilivyo katika nchi nyingi za Ulaya, ni kinyume cha sheria kuwafukuza wapangaji wakati wa majira ya baridi kali, hata kama hawajalipa kodi... Read More