0 Comment
-Viwanja vya Mwalimu J. K. Nyerere, Dar es Salaam Meneja wa Huduma za Maabara wa Tume ya Madini, Mhandisi Mvunilwa Mwarabu, ameendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na maabara ya Tume katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba (DITF). Huduma hizo ni pamoja na uchambuzi wa sampuli za madini... Read More