0 Comment
Na Mwandishi Wetu, AccraJuni 24, 2025 Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Profesa Dos Santos Silayo, ameongoza kikao cha Baraza la Uongozi la Kamisheni ya Misitu na Wanyamapori Barani Afrika (African Forestry and Wildlife Commission – AFWC) kinachofanyika kwa siku tatu jijini Accra, Ghana. Kikao hicho kimewakutanisha viongozi waandamizi kutoka... Read More