0 Comment
Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Kundo Methew ametembelea na kukagua ujenzi wa mradi wa maji wa miji 28 Kilwa Masoko unaojengwa kwa kutumia chanzo cha mto Mavuji unaogharimu dola za Marekeni zaidi ya Milioni 18 sawa na Bilioni 44. Mradi huo unatekelezwa na Mkandarasi kutoka Kampuni ya Afcons Infrastructure Ltd na Vijeta Projects and Infrastructure... Read More