0 Comment
Takribani Safari za Ndege 4,500 zimcheleweshwa na nyingine 2,000 kuhairishwa huko Nchini Marekani kufuatia dhoruba kali ya majira ya baridi. Baadhi ya picha kutoka katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Muhammad Ali wa Louisville huko Kentucky zinaonyesha ndege zikiwa zimefunikwa ma theluji. Siku nzima tumekuwa tukifuatilia jinsi dhoruba hii ya msimu wa baridi inavyoathiri... Read More