0 Comment
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla amewataka Maafisa na Wapiganaji wa Vikosi vya SMZ kuwa wazalendo, kufanya kazi kwa kufuata maadili na kusimamia haki na uwadilifu kwa wanaowaongoza. Ameyasema hayo wakati akizindua Jengo la Makao Makuu ya Chuo cha Mafunzo Kilimani Mjini Unguja ikiwa ni muendelezo wa shamra shamra za kutimia... Read More