0 Comment
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amewataka watumishi wa umma kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi kwa kuzingatia weledi, uadilifu na maadili ya utumishi wa umma. Mhe. Majaliwa aliyasema hayo Juni 23, 2025, katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma, alipomwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa... Read More