0 Comment
Na WAF – Kilimanjaro Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema Hospitali Maalum ya Tiba ya Magonjwa Ambukizi kibong’oto inatarajiwa kuwa Taasisi ya Magonjwa Ambukizi ambayo itakwenda sambamba na uimarishaji wa mifumo ya huduma za tiba ya magonjwa hayo. Waziri Mhagama amesema hayo Machi 1, 2025 alipofanya ziara katika Hospitali ya Kibong’oto kwa lengo la... Read More