0 Comment
Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano ya Wizara ya Fedha ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja akiwataka wajumbe wa Kamati hiyo kushirikiana na Kitengo hicho katika kufanikisha utoaji wa taarifa kwa umma, wakati wa Kikao kazi kilichofanyika jijini Dodoma. Afisa Habari wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara... Read More