0 Comment
Shirika la umeme Tanzania TANESCO Mkoa wa Ruvuma, limewataka wafanyakazi wa Shirika hilo kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya umeme nyakati zote kwani hitaji lao ni umeme na nasio maneno. Hayo yameelezwa na Kaimu Meneja wa TANESCO Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Boniface Malibe, wakati wa hafla iliyoandaliwa na Afisa Rasilimaliwatu wa Shirika hilo ya kuwapongeza wafanyakazi... Read More