0 Comment
Na Farida Mangube, Morogoro Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linafanya uchunguzi wa mauaji ya kikatili yaliyotokea usiku wa kuamkia Juni 21, 2025 katika Kitongoji cha Bombani, kijiji na kata ya Dumila, Wilaya ya Kilosa, ambapo mfanyabiashara wa huduma za kifedha, Mana Selemani Ally (50), aliuawa kwa kupigwa risasi na mtu anayedhaniwa kuwa jambazi. Tukio... Read More