0 Comment
Farida Mangube, Kilombero, Morogoro. Mkuu wa wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, ameeleza mpango wa kuifanya wilaya hiyo kuwa eneo la mfano kitaifa katika kuendeleza vipaji pamoja na uwezo binafsi wa watoto na vijana, akisisitiza kupitia halmashauri zake mbili za Mlimba na Halmashauri ya Mji Ifakara, watasimamia utekelezaji wa mipango thabiti ya kuimarisha stadi za... Read More