0 Comment
Benki ya NMB Kanda ya Ziwa imetoa vifaa tiba katika hospitali ya Kanda Chato pamoja na kuchangia vifaa katika sekta ya elimu kwa Shule nne za Chato Mkoani Geita na mbili za Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni 37. Vifaa hivyo vimetolewa na kukabidhiwa na Meneja wa... Read More