0 Comment
Na. Farida Ramadhani, WF, Dodoma. Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu Elmaamry Mwamba, amekipongeza Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha Wizara hiyo kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kuhabarisha umma kuhusu kazi na majukumu ya Wizara katika kukuza na kusimamia uchumi kwa njia mbalimbali za mawasiliano Dkt. Mwamba ametoa pongezi hizo jijini Dodoma wakati akipokea Jarida... Read More