0 Comment
NA WILLIUM PAUL, MOSHI. WANACHAMA wa Chama cha Mapinduzi wameshauriwa kujiepusha na maneno ya uongo (majungu) hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu ili chama hicho kiingie katika uchaguzi wanachama wakiwa wamoja na kuweza kushinda kwa kishindo. Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Meryse Mollel wakati akifunga baraza la... Read More