0 Comment
Mkuu wa wilaya ya Njombe Juma Sweda amevikabidhi hundi zenye thamani ya bil 1.8 vikundi 111 vya wajasiriamali wanawake,vijana na walemavu ambavyo vimenufaika na mikopo ya halmashauri ya asilimia 10 na kisha kuonya tabia ya kuzitumia fedha hizo kwa ulevu,mavazi na kulipa michango ya harusi. DC Sweda amesema ili kupata tija ya mikopo hiyo vijana... Read More