0 Comment
NA EMMANUEL MBATILO, PWANI SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Mashariki limeteketeza bidhaa hafifu za vipodozi na nguo za ndani za mtumba tani 43 zenye thamani ya shilingi milioni 303 ambazo zimepigwa marufuku kuingia nchini. Bidhaa hizo zilikamatwa katika operasheni waliyoifanya katika mikoa ya Pwani, Dar es Salaam na Morogoro na kubaini uwepo wa... Read More