0 Comment
Na. Faraja Mbise, VIWANDANI Uongozi wa Shule ya Sekondari Viwandani wamshukuru Mbunge wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde kwa kuboresha miundombinu ya shule hiyo sambamba na ujenzi wa maabara mpya ya kompyuta na ugawaji wa kompyuta 20, viti 20 na printa moja. Shukrani hizo zilitolewa na Mkuu wa Shule ya Sekondari Viwandani, Mwl. Ester Simchimba, alipokuwa... Read More