0 Comment
Katika kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhakikisha asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034, kampuni ya Smartpika kupitia Mradi wa Huduma za Kisasa za Upikaji (MECS) imegawa majiko sanifu ya umeme katika Shule ya Msingi Kibasila jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kufikia nyumba milioni... Read More









