0 Comment
Katibu wa Hazina Sports Club, Bw.Kelvin Kakoko, akipokea tuzo ya ushindi wa kwanza wa mchezo wa mpira wa miguu kutoka kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati wa Sherehe za Wafanyakazi (Mei Mosi) Kitaifa, katika viwanja vya Bombadia mkoani Singida. Na. Peter Haule, Singida. Wizara ya Fedha imeng’ara... Read More